Author: noteswpadmin

Orodha ya Majina walioitwa kufanya mafunzo ya Semina ya Kusimamia uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 katika mkoa wa Dodoma Pamoja na majimbo yake yote. Orodha hii imebeba majina ya makarani, wasimamizi na wasimamizi wasaidi. Bonyeza hapo chini kupata PDF 1. Makarani akiba2. Wasimamizi Akiba3. Wasimamizi wa wasaidizi dodoma4. Wasimamizi wasaidizi Dodoma mjini Kupata Orodha ya Mikoa Mingine Bonyeza hapa

Read More

Msimu wa 2024/2025 umekuwa wa kuvutia sana katika soka la Afrika, hasa kwa wapenzi wa soka la Tanzania. Nyota wawili waliowahi kucheza ndani ya NBC Premier League huku Fiston Mayele alikuwa Yanga na Shomari Kapombe akiwa Simba, wamekutana tena – safari hii si kama wachezaji wa timu moja, bali kama wapinzani wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa CAF Interclub 2025. Baada ya kutamba akiwa na Yanga SC kwa misimu mitatu mfululizo, Fiston Mayele alijiunga na Pyramid FC ya Misri, ambako ameendelea kung’ara katika michuano ya CAF Champions League. Akiwa kinara wa magoli na msaada mkubwa kwa timu yake, Mayele amethibitisha…

Read More

Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League – CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup – CAFCCL) kwa msimu wa 2024/2025 imekuwa na mvuto mkubwa na ushindani wa hali ya juu. Vilabu kama Al Ahly, Pyramids FC, RS Berkane, Simba SC na AS FAR Rabat vimeonyesha ubora mkubwa, huku baadhi ya wachezaji wao wakionekana kuwa chachu ya mafanikio hayo. Kwa mwaka huu, CAF imeendelea na utaratibu wa kutambua wachezaji waliofanya vizuri zaidi katika michuano ya vilabu kwa kutoa tuzo ya CAF Interclub Player of the Year 2025. Tuzo hii hupewa mchezaji aliyeonyesha ubora wa kipekee, nidhamu,…

Read More

Serikalini ya Tanzania imetangaza Ajira Mpya zaidi ya 17,710 za walimu, Afya, Kilimo, Ufugaji na Uhandisi kupitia MDAs na LGAs ajira portal MDAs (Ministries, Departments and Agencies) ni taasisi za serikali kuu zinazohusika na utekelezaji wa sera, mipango na sheria za taifa. Kila wizara (Ministry) inasimamia sekta fulani kama elimu, afya au kilimo, huku idara na wakala (Departments and Agencies) wakitekeleza majukumu maalum chini ya wizara hizo. LGAs (Local Government Authorities) ni mamlaka za serikali za mitaa zinazohusika na utoaji wa huduma za kijamii moja kwa moja kwa wananchi katika maeneo yao. Hizi ni pamoja na halmashauri za miji, manispaa,…

Read More

Wazazi, walimu, na wanafunzi wengi nchini Tanzania wamekuwa na hamu kubwa ya kujua matokeo ya darasa la saba 2025 yatatoka lini. Kwa mujibu wa taarifa za awali, Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) linatarajia kutangaza matokeo hayo mwezi wa Oktoba 2025. Hii imekuwa ni desturi ya kila mwaka, ambapo baada ya mitihani kukamilika mwezi Septemba, NECTA huanza mchakato wa usahihishaji na uhakiki wa majibu kabla ya kuyatangaza rasmi. Kwa Nini Matokeo Hutoka Oktoba? Mchakato wa usahihishaji wa mitihani unachukua muda kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaoshiriki katika Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba (PSLE). NECTA huhakikisha kila karatasi ya…

Read More

Katika ulimwengu wa kisasa wa teknolojia, hauhitaji televisheni tena kufurahia mechi za mpira wa miguu live. Sasa unaweza kutazama mechi zote kubwa za Premier League, UEFA Champions League, LaLiga, Serie A, Bundesliga na ligi nyingine nyingi moja kwa moja kupitia simu yako ya mkononi. Unachohitaji ni data ya intaneti na App inayoitwa Cricfy, ambayo inarahisisha kuangalia michezo bure au kwa gharama ndogo popote ulipo. Cricfy ni app ya michezo inayokuwezesha kutazama mechi za moja kwa moja, kufuatilia matokeo ya live, ratiba za michezo, habari za wachezaji, na takwimu mbalimbali za ligi kubwa duniani. App hii imekuwa maarufu kwa mashabiki wa…

Read More

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) linapenda kuwataarifu wazazi, walezi, walimu na umma kwa ujumla kuwa matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka 2025 yanatarajiwa kutoka na kutangazwa rasmi mwishoni mwa mwezi Oktoba 2025. Hatua Jinsi ya kuangali Matokeo ya Darasa la saba 2025 Online Mara tu baada ya kutangazwa, matokeo yatapatikana kupitia: Tunawashauri wazazi na wanafunzi kuwa watulivu wakati huu wa kusubiri, na kuhakikisha wanapata taarifa sahihi kutoka vyanzo rasmi pekee. Soma pia: Matokeo ya Darasa la Saba 2025

Read More

Hatua kwa hatua Jinsi ya kuangalia Bima ya Gari kwa simu. Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, huduma nyingi muhimu zimehamia kwenye simu ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa bima ya gari. Ikiwa wewe ni dereva au mmiliki wa gari, ni lazima kuhakikisha kuwa bima ya gari lako ipo hai ili kuepuka usumbufu wa kisheria na kulinda usalama wako na wa wengine barabarani. Kwa bahati nzuri, kuangalia bima ya gari kwa simu ni jambo rahisi mno na linaweza kufanyika popote ulipo. Hapa chini tumeandaa mwongozo wa hatua kwa hatua utakaokusaidia kufanya hivyo kwa urahisi. Hatua za kufata Jinsi ya kuangalia…

Read More