Tangu Julai 2025, Chuo cha Ushirika Moshi (MoCU) kupitia TAMISEMI kimeweka wazi orodha ya “Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa awamu ya pili” kujiunga na programu mbalimbali za Diploma na Shahada kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kupitia tovuti yao rasmi kwenye sehemu ya Admissions. Wanafunzi waliochaguliwa wanatakiwa kupakua hati ya PDF iliyo na maelekezo ya usajili (Joining Instruction Form), na kisha kujitathmini kwa kutumia Exam Application Number zao ili kuangalia kama wamepata nafasi katika awamu ya kwanza. Ikiwa majina yako hayapo, unaweza kusubiri kwa awamu ya pili au ya tatu, ambazo kila mara huongozwa na mwongozo rasmi kutoka TAMISEMI na MoCU.
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA ROUND 2 MOCU
Soma pia: