Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
Author: noteswpadmin
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League – CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup – CAFCCL) kwa msimu wa 2024/2025 imekuwa na mvuto mkubwa na ushindani wa hali ya juu. Vilabu kama Al Ahly, Pyramids FC, RS Berkane, Simba SC na AS FAR Rabat vimeonyesha ubora mkubwa, huku baadhi ya wachezaji wao wakionekana kuwa chachu ya mafanikio hayo. Kwa mwaka huu, CAF imeendelea na utaratibu wa kutambua wachezaji waliofanya vizuri zaidi katika michuano ya vilabu kwa kutoa tuzo ya CAF Interclub Player of the Year 2025. Tuzo hii hupewa mchezaji aliyeonyesha ubora wa kipekee, nidhamu,…
Orodha ya Majina waliochaguliwa kufanya mafunzo – semina ya kusimamia uchaguzi mkuu mwaka 2025, Orodha hii ipo majina ya Wasimamizi wakuu, wasaidizi na makarani kwa kata na majimbo yote yaliyo Ubungo na kibamba. Bonyeza hapa kupata orodha ya Majina ya walioitwa mafunzo kusimamia uchaguzi Soma pia:
Katika mwaka wa 2025, Serikali ya Tanzania imetangaza Nafasi mpya za Kazi sekta kada ya afya kwenye MDA’s (Ministries, Departments & Agencies) na LGAs (Halmashauri za Serikali za Mitaa) ili kukidhi mahitaji ya huduma za afya ngazi ya taifa na maeneo ya kijiji. Tangazo la ajira hizo limeonyesha nafasi za kada za afya, wahudumu wa afya na wataalamu wa sekta mbalimbali kwa Astashahada, stashahada na Shahada. ikilenga kupunguza upungufu wa watumishi wa afya na kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi. BONYEZA HAPA KUSOMA TANGAZO Soma pia: Nafasi 17,710 za kazi Kutoka MDAs & LGAs, October 2025
Serikalini ya Tanzania imetangaza Ajira Mpya zaidi ya 17,710 za walimu, Afya, Kilimo, Ufugaji na Uhandisi kupitia MDAs na LGAs ajira portal MDAs (Ministries, Departments and Agencies) ni taasisi za serikali kuu zinazohusika na utekelezaji wa sera, mipango na sheria za taifa. Kila wizara (Ministry) inasimamia sekta fulani kama elimu, afya au kilimo, huku idara na wakala (Departments and Agencies) wakitekeleza majukumu maalum chini ya wizara hizo. LGAs (Local Government Authorities) ni mamlaka za serikali za mitaa zinazohusika na utoaji wa huduma za kijamii moja kwa moja kwa wananchi katika maeneo yao. Hizi ni pamoja na halmashauri za miji, manispaa,…
Wazazi, walimu, na wanafunzi wengi nchini Tanzania wamekuwa na hamu kubwa ya kujua matokeo ya darasa la saba 2025 yatatoka lini. Kwa mujibu wa taarifa za awali, Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) linatarajia kutangaza matokeo hayo mwezi wa Oktoba 2025. Hii imekuwa ni desturi ya kila mwaka, ambapo baada ya mitihani kukamilika mwezi Septemba, NECTA huanza mchakato wa usahihishaji na uhakiki wa majibu kabla ya kuyatangaza rasmi. Kwa Nini Matokeo Hutoka Oktoba? Mchakato wa usahihishaji wa mitihani unachukua muda kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaoshiriki katika Mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba (PSLE). NECTA huhakikisha kila karatasi ya…
Katika ulimwengu wa kisasa wa teknolojia, hauhitaji televisheni tena kufurahia mechi za mpira wa miguu live. Sasa unaweza kutazama mechi zote kubwa za Premier League, UEFA Champions League, LaLiga, Serie A, Bundesliga na ligi nyingine nyingi moja kwa moja kupitia simu yako ya mkononi. Unachohitaji ni data ya intaneti na App inayoitwa Cricfy, ambayo inarahisisha kuangalia michezo bure au kwa gharama ndogo popote ulipo. Cricfy ni app ya michezo inayokuwezesha kutazama mechi za moja kwa moja, kufuatilia matokeo ya live, ratiba za michezo, habari za wachezaji, na takwimu mbalimbali za ligi kubwa duniani. App hii imekuwa maarufu kwa mashabiki wa…
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) linapenda kuwataarifu wazazi, walezi, walimu na umma kwa ujumla kuwa matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka 2025 yanatarajiwa kutoka na kutangazwa rasmi mwishoni mwa mwezi Oktoba 2025. Hatua Jinsi ya kuangali Matokeo ya Darasa la saba 2025 Online Mara tu baada ya kutangazwa, matokeo yatapatikana kupitia: Tunawashauri wazazi na wanafunzi kuwa watulivu wakati huu wa kusubiri, na kuhakikisha wanapata taarifa sahihi kutoka vyanzo rasmi pekee. Soma pia: Matokeo ya Darasa la Saba 2025
Hatua kwa hatua Jinsi ya kuangalia Bima ya Gari kwa simu. Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, huduma nyingi muhimu zimehamia kwenye simu ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa bima ya gari. Ikiwa wewe ni dereva au mmiliki wa gari, ni lazima kuhakikisha kuwa bima ya gari lako ipo hai ili kuepuka usumbufu wa kisheria na kulinda usalama wako na wa wengine barabarani. Kwa bahati nzuri, kuangalia bima ya gari kwa simu ni jambo rahisi mno na linaweza kufanyika popote ulipo. Hapa chini tumeandaa mwongozo wa hatua kwa hatua utakaokusaidia kufanya hivyo kwa urahisi. Hatua za kufata Jinsi ya kuangalia…
Orodha ya Majina walioitwa kwenye Mafunzo – semina ya kusimamia uchaguzi mkuu katika jimbo la Moshi mjini kwa Makarani, wasimamizi wakuu na wasaidizi Bonyeza hapa kupata Orodha ya majina
Orodha ya Majina walioitwa Kufanya mafunzo (semina) ya kusimami zoezi la Uchaguzi mkuu jimbo la Siha kwa makarani na wasimamizi wa vituo Bonyeza hapa kupata Orodha ya Majina waliofaulu usaili