Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
Author: noteswpadmin
Klabu ya Yanga SC imefungua ukurasa mpya katika historia yake kwa kumtambulisha rasmi Pedro Gonçalves kama kocha mkuu mpya kwa msimu wa 2025/2026. Kocha huyu raia wa Ureno anakuja na uzoefu mkubwa wa kimataifa, akiwa amewahi kufanya kazi na timu za vijana na timu ya taifa ya Angola, ambapo alionyesha uwezo mkubwa wa kiufundi na nidhamu ya hali ya juu katika uongozi wa wachezaji. Safari ya Ukocha na Mafanikio Umaarufu wa Gonçalves ulianza kupanda mwaka 2018, alipoteuliwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Angola U17, na mwaka uliofuata akapandishwa kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Angola (Senior Team).…
Timu zilizofuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2025/2026 zimejumuisha klabu bora kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika baada ya kupambana vikali katika hatua za awali za mchujo. Mechi za awalimu zimekuwa nzuri na za kuvutia timu ndogo ambazo wengi hawakuzipenda ndizo ambazo zimeonyesha kiwango kikubwa na kuwa upinzani mkubwa. Orodha ya Timu Zilizofuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 – CAF Champions League Soma pia:
Serikali imetangaza Nafasi mpya za kazi za walimu 3,500 kwa mwaka 2025 kupitia MDAs na LGAs kwa lengo la kuongeza nguvu kazi katika shule za msingi na sekondari nchini. Ajira hizi ni sehemu ya juhudi endelevu za serikali katika kuboresha sekta ya elimu na kupunguza tatizo la upungufu wa walimu katika maeneo mbalimbali ya nchi. Walimu watakaopangiwa kupitia MDAs na LGAs watachangia katika kuinua ubora wa elimu kwa kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora katika mazingira salama na yenye ufanisi. Serikali imesisitiza kuwa mchakato huu unalenga kuhakikisha usawa wa upatikanaji wa walimu katika kila mkoa na halmashauri nchini. Bonyeza hapa kupata…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Secretariat ya Ajira kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imetangaza rasmi Nafasi mpya za kazi za ualimu kwa mwaka 2025. Ajira hizi zinahusisha walimu wa madaraja yote ikiwemo Daraja III A, Daraja III B, na Daraja III C, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kuboresha sekta ya elimu na kupunguza upungufu wa walimu katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu wa Madaraja Yote Wamenufaika Katika tangazo hilo, serikali imesisitiza kuwa nafasi hizo ni kwa walimu wa ngazi tofauti, ikiwemo: Kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa, walimu wote waliomaliza mafunzo…
Orodha ya Majina walioitwa kuanza mafunzo na semina ya Kusimamia zoezi la uchaguzi mkuu mwaka huu katika Wilaya ya Kinondoni na Jimbo la Kawe. Orodha hiyo inapatikana katika pdf hapo chini:
Leo Jumamosi Mechi za Marudiano za mkondo wa pili wa hatua ya awali Klabu Bingwa na Kombe la shirikisho CAF. Baada ya mechi za mkondo wa kwanza kukamilika leo hii Baadhi ya timu za Tanzania Bara zinashuka tena dimbani kumenyana awamu ya pili. Mechi kubwa inayosubiriwa kwa hamu katika mzunguko huu wa pili ni kati ya yanga sc na Silver Strikers, Ni baada ya mkondo wa kwanza timu ya wananchi yanga sc kuchezea kichapo cha bao moja kwa sufuri na kupelekea kufukuzwa kwa kocha wao mkuu Roma Folz, wanachama pamoja na mashabiki wa Yanga wanahamu kubwa ya kushuhudia mechi iyo wakiwa…
Wamiliki wa ardhi nchini Tanzania sasa wanaweza kuangalia deni la kodi ya ardhi (Land Rent) kwa urahisi kupitia huduma za mtandaoni zinazotolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Mfumo huu umeundwa ili kurahisisha huduma na kuondoa usumbufu wa kwenda ofisini. Kwa Kutumia Huduma za Mtandaoni 1. Tembelea tovuti ya Wizara ya Ardhi 2. Ingiza Taarifa za Kiwanja Chako 3. Chagua Mkoa na Wilaya 4. Pokea Makadirio ya Deni Soma pia:
Ikiwa unataka kuanzisha au kusajili biashara yako rasmi hapa Tanzania, moja ya mambo muhimu ni kuwa na TIN number (Taxpayer Identification Number) kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Sasa, unaweza kupata TIN number ya biashara yako mtandaoni bila ya kwenda ofisini — rahisi, haraka na salama. Jinsi ya kuomba TIN number ya biashara yako online, na mahitaji unayopaswa kuwa nayo kabla ya kuanza mchakato. TIN Number ni Nini? Na Kwa Nini Unaihitaji? TIN (Taxpayer Identification Number) ni namba ya kipekee inayotolewa na TRA kwa watu binafsi au biashara kwa ajili ya kulipa kodi.Unahitaji TIN kwa ajili ya: Mahitaji ya Kuomba…
Azam TV ni moja kati ya huduma bora za televisheni kwa njia ya king’amuzi nchini Tanzania, inayotoa chaneli mbalimbali za michezo, habari, burudani na tamthilia. Ili kuendelea kufurahia huduma hii bila kukatizwa, ni muhimu kuhakikisha unalipia kifurushi chako kwa wakati. Zifuatazo ni hatua rahisi za kulipia Azam TV kwa kutumia simu kupitia mitandao tofauti ya malipo. Jinsi ya Kulipia kwa Simu Jinsi Ya Kulipia Azam TV kwa YAS Jinsi Ya Kulipia Azam TV kwa M-Pesa Jinsi Ya Kulipia Azam TV kwa Airtel Money Soma pia:
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza rasmi Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (PSLE) mwaka 2025. Tangazo hilo limepokelewa kwa furaha na hamasa kubwa kutoka kwa wazazi, walimu na wanafunzi kote nchini, huku likiwa ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya msingi kuelekea sekondari. Kwa mujibu wa NECTA, matokeo haya yanaonesha kiwango cha ufaulu kimeongezeka ikilinganishwa na mwaka uliopita, jambo linaloonesha jitihada kubwa zinazofanywa na serikali na wadau wa elimu katika kuinua ubora wa elimu nchini Tanzania. Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Wazazi, wanafunzi na walimu wanaweza kuangalia matokeo ya Darasa la Saba…