Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
Author: noteswpadmin
Mzumbe university imetoa orodha ya wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili (Selected Applicants) kujiunga na Chuo hicho kwa Mwaka 2025 2026 kwa Bachelor’s Degree DOWNLOAD HAPA PDF FILE MAJINA WALIOCHAGULIWA ROUND 2 KUJIUNGA MZUMBE UNIVERSITY Soma pia:
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili kujiunga na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Mbeya University of Science and Technology – MUST) kwa mwaka wa masomo 2025 yametolewa rasmi. Orodha hii inajumuisha waombaji waliokidhi vigezo vya udahili katika programu mbalimbali za shahada, stashahada, na cheti. Wanafunzi waliopata nafasi wanatakiwa kuthibitisha udahili wao kupitia mfumo wa TCU (kwa ngazi ya shahada) au NACTVET (kwa stashahada na vyeti) kulingana na ngazi waliyochaguliwa. MUST inawapongeza wote waliofanikiwa kuchaguliwa na kuwakaribisha kujiunga na chuo hiki kinachojivunia ubora wa elimu katika sayansi, teknolojia, uhandisi, elimu ya ufundi, na biashara — kwa lengo…
Tazama hapa Second Round Selected Applicants Majina ya wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili kujiunga na chuo kikuu cha Ardhi University. PDF DOWNLOAD HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA PDF 2 ROUND PDF SECOND SELECTION DOWNLOAD HAPA MAJINA WANAFUNZI SINGLE ADMISSION Soma pia:
Majina ya waliochaguliwa awamu ya Pili kujiunga na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (Institute of Finance Management – IFM) kwa mwaka wa masomo 2025 yametangazwa rasmi. Orodha hiyo inajumuisha wanafunzi waliokidhi vigezo vya kujiunga na programu mbalimbali za shahada, stashahada, na cheti, kulingana na matokeo yao ya kitaaluma na ushindani wa nafasi. Waliochaguliwa wanatakiwa kuthibitisha udahili wao kupitia mfumo wa TCU (kwa ngazi ya shahada) au NACTVET (kwa stashahada na vyeti) ndani ya muda uliowekwa ili kuweza kuendelea na hatua nyingine za usajili chuoni. IFM inawakaribisha wanafunzi wote wapya kujiunga na jumuiya yake ya kitaaluma yenye historia ndefu ya kutoa…
Orodha ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili kujiunga na chuo cha Maji Water Institute, imetoa orodha ya waliochaguliwa chuo kimoja na chuo zaidi ya kimoja. PDF MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA WATER INSTITUTE SECOND SELECTION Soma pia:
NECTA Yatangaza matokeo ya Darasa la Saba mwaka huu 2025-2026 – PSLE Results. Wanafunzi, wazazi na walimu kote nchini wanatarajia kwa hamu kutangazwa rasmi kwa matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka wa 2025 na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Matarajio ni kwamba matokeo hayo yatatolewa muda mfupi baada ya ukaguzi wa mwisho wa majibu, tathmini ya alama zote pamoja na uhakiki wa usahihi, ili kuhakikisha haki kwa watahiniwa wote. Kutangaza matokeo haya ni hatua muhimu sana katika mfumo wa elimu kwa sababu hutoa mwongozo kwa wanafunzi kuhusu shule za sekondari za kujiunga nazo, na…
Maswali mbalimbali ya usaili yanayoweza kuulizwa kwa waombaji wa nafasi ya kusimamia uchaguzi mkuu, Maswali haya ni kwa Makarani, wasimamizi wasaidizi na wasimamizi wakuu wa vituo. Maswali ya usaili kusimamia uchaguzi Soma pia: Posho na malipo ya kusimamia uchaguzi mkuu 2025
Majina ya walioitwa kufanya usaili jimbo la mtumba, Orodha hii imeambatana na vituo vya kufanyia usaili pamoja na tarehe husika. Bonyeza hapo chini kupata orodha kamili: PDF ya wasimamizi wa Vituo vya kupiga kura Makarani waongozaji wapiga kura
Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili Kusimami uchaguzi Halmshauri ya Manispaa ya Ilala na Kata zake zote Bonyeza hapa kupata Orodha ya Majina
Orodha ya Majina walioitwa Kusimamia uchaguzi mkuu Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na Kata zake zote. Bonyeza hapa kupata Orodha ya Majina walioitwa kusimamia