By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
vacancy Forumvacancy Forumvacancy Forum
Search
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Reading: Bei mpya ya Mafuta – Petroli & Diesel
Share
Sign In
Notification Show More
Font ResizerAa
vacancy Forumvacancy Forum
Font ResizerAa
Search
Have an existing account? Sign In
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Makala mbalimbali

Bei mpya ya Mafuta – Petroli & Diesel

admin
Last updated: June 4, 2025 11:46 am
admin
Share
SHARE

Soma hapa Bei mpya ya Mafuta aina ya Petrol, Diesel na mafuta ya Taa (Kerosen). Katika hatua inayowalenga watumiaji wa nishati nchini, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Juni 2025. Bei hizi zitaanza kutumika rasmi kuanzia Jumatano, Juni 4, 2025, na zinategemea mabadiliko katika soko la kimataifa la mafuta, mabadiliko ya viwango vya kubadilisha fedha, na gharama za uagizaji mafuta (premiums).

Bei za Mafuta kwa Juni 2025

Kwa mujibu wa EWURA, bei za mafuta kwa mwezi Juni 2025 ni kama ifuatavyo:

Kwa Dar es salaam bei ya mafuta itakuwa kama ifuatavyo

  • Petroli: Lita moja itauzwa kwa Tsh 2,885 jijini Dar es Salaam
  • Dizeli: Bei mpya ni Tsh2,826 kwa lita moja.
  • Mafuta ya Taa (Kerosene): Bei mpya Tsh 2,877 kwa lita moja.

Kwa Bandari ya Tanga bei mpya ya Mafuta itakuwa kama ifuatavyo:

  • Petroli: Lita moja itauzwa kwa Tsh 2,946.
  • Dizeli: Bei mpya ni Tsh2,887 kwa lita moja.
  • Mafuta ya Taa (Kerosene): Bei mpya Tsh 2,938 kwa lita moja.

Na kwa Mtwara mafuta yatauzwa:

  • Petroli: Lita moja itauzwa kwa Tsh 2,978.
  • Dizeli: Bei mpya ni Tsh2,918 kwa lita moja.
  • Mafuta ya Taa (Kerosene): Bei mpya Tsh 2,969 kwa lita moja.

Soma pia:

  • Bei ya Leseni ya Udereva
  • Bei ya Leseni ya Biashara
  • Bei ya Vipande vya UTT AMIS

Sign Up For Daily Newsletter

Be keep up! Get the latest breaking news delivered straight to your inbox.
[mc4wp_form]
By signing up, you agree to our Terms of Use and acknowledge the data practices in our Privacy Policy. You may unsubscribe at any time.
Share This Article
Facebook Copy Link Print
Previous Article Mfumo wa Maombi ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama Mfumo wa Maombi ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama | oas.judiciary.go.tz
Next Article Bei ya Madini ya Almasi Tanzania Bei ya Madini ya Almasi Tanzania
Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Latest News

Vifurushi vya Bima ya Afya Jubilee Tanzania
Vifurushi vya Bima ya Afya Jubilee Tanzania 2025 – Bei na Gharama
Makala mbalimbali
Vifurushi vya Bima ya Afya NHIF 2025 - Bei na Gharama zake
Vifurushi vya Bima ya Afya NHIF 2025 – Bei na Gharama zake
Makala mbalimbali
Bei ya Vifurushi vya DSTV 2025 – Siku, Wiki & Mwezi
Bei ya Vifurushi vya DSTV 2025 – Siku, Wiki & Mwezi
Makala mbalimbali
Bei ya Vifurushi vya DSTV 2025 – Siku, Wiki & Mwezi
Bei ya Vifurushi vya Azam TV Tanzania 2025 – Siku, Wiki & Mwezi
Makala mbalimbali

You Might also Like

Aina za Rasta na Majina Yake

3 Min Read

Makosa yenye dhamana

3 Min Read

Mabasi ya Dar kwenda Kigoma

3 Min Read
Fomu ya kujiunga na Usalama wa Taifa
Makala mbalimbali

Fomu ya kujiunga na Usalama wa Taifa

6 Min Read
vacancy Forumvacancy Forum
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Username or Email Address
Password

Lost your password?