Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
Author: noteswpadmin
Matokeo ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III B Kemia yametolewa na Ajira portal, yakibainisha waombaji walioweza kukidhi vigezo vilivyowekwa katika tathmini hiyo. Usaili wa kuandika ulilenga kupima kiwango cha taaluma ya Kemia, uwezo wa kufundisha kwa kufuata mtaala, pamoja na mbinu za ufundishaji na uandishi wa kitaaluma. Waombaji waliofanikiwa katika hatua hii wanapaswa kufuatilia taarifa rasmi kwa ajili ya hatua zinazofuata za mchakato wa ajira. BOFYA HAPA KUPATA PDF LA MATOKEO Soma pia: Matokeo ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III C Kemia
Matokeo ya Usaili wa Kuandika Mwalimu Daraja III C Kemia ajira portal yametangazwa rasmi, yakionesha majina ya waombaji waliofanikiwa kufaulu hatua hii muhimu ya mchakato wa ajira. Usaili huu ulilenga kupima uelewa wa kitaaluma, uwezo wa kufundisha somo la Kemia, pamoja na ujuzi wa kuwasilisha majibu kwa usahihi kulingana na mtaala husika. Waombaji waliopita hatua ya kuandika wanatarajiwa kuendelea na hatua inayofuata ya usaili kulingana na maelekezo yatakayotolewa na mamlaka husika. BONYEZA HAPA KUPATA PDF YA MATOKEO
Walimu wa masomo mbalimbali walioitwa kwenye usaili MDAs na LGAs, Pia sekretariat ya ajira imetoa maelekezo kwa wasailiwa wote kama ifuatavyo: Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15/12/2025 hadi 22/12/2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo BONYEZA HAPA KUPATA PDF YA MAJINA Soma pia:
TAMISEMI Imetoa orodha ya waliopangiwa kuanza kidato cha kwanza kwa mwaka 2026, sambamba na hilo wametoa fomu za kujiunga (Joining Instructions) zenye vitu muhumi kwa wanafuni kuwa navyo wakati wanaenda shuleni kwa wale wa bweni na day. Joining Instructions na Fomu za kujiunga na sekondari kidato cha kwanza 2025-2026 Maelekezo namna ya kupata fomu za kujiunga joining instructions za kidato cha kwanza, Tafadhari chagua mkoa husika ambao mwanafunzi amefanyia mtihani shule ya msingi, Kisha chagua shule aliyosoma, utamalizia kubonyeza jina la shule aliyopangiwa kwenda ili uweze kupakua fomu hiyo ya kujiunga. ARUSHADAR ES SALAAMDODOMAGEITAIRINGAKAGERAKATAVIKIGOMAKILIMANJAROLINDIMANYARAMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZANJOMBEPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASIMIYUSINGIDASONGWETABORATANGA Soma pia:
Mashabiki wa soka nchini Tanzania wana sababu ya kufuatilia kwa karibu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, baada ya ratiba ya mechi za hatua ya makundi kwa Taifa Stars kuwekwa wazi. Mashindano haya yanatoa fursa kwa Tanzania kuonyesha uwezo wake barani Afrika, huku kila mchezo ukiwa na umuhimu mkubwa katika harakati za kusonga mbele kwenye hatua ya mtoano. Katika hatua ya makundi, Taifa Stars itakutana na wapinzani wakubwa na wenye uzoefu, jambo linalohitaji maandalizi makini na mshikamano mkubwa kutoka kwa wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki. Kila pointi itakuwa ya thamani kubwa katika kundi hili lenye ushindani…
Many candidates prefer checking their results online using their personal details for convenience and speed. Once results are officially released, learners can easily access their outcomes by following the correct procedure based on the examination body. This guide explains how to check Matric Results 2025 South Africa using an ID number for both NSC and IEB candidates. Steps to Check Matric Results 2025 with ID Number for NSC Examinees Learners who sat for the Independent Examinations Board (IEB) exams can also check their results online using their ID number. Follow the steps below: Steps to Check Matric Results 2025 with…
Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili Bunge la Jamhuri ya Muungano wa tanzania, Spika wa Bunge ametangaza orodha ya vijana walioitwa kwenye usaili wa nafasi walizoomba za kazi kutoka Bunge la Tanzania. Wasailiwa wote wanaombwa kupitia tangazo hilo na kusoma maelekezo muhimu ili kuepuka usumbufu wowote utakao jitokeza. BONYEZA HAPA KUPATA PDF YA MAJINA YA USAILI BUNGE LA TANZANIA Soma pia: Majina ya Usaili Zimamoto na Uokoaji 2025
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji anawaarifu waombaji wote wa ajira kupitia mfumo wa ajira.zimamoto.go.tz kwamba zoezi la usaili litaanza tarehe 15 Disemba, 2025 hadi 20 Disemba, 2025 kuanzia saa 1:00 asubuhi, kulingana na makundi yafuatayo: Maelekezo kwa washiriki wa usaili: i. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye kituo chake cha usaili siku na tarehe alizopangiwa.ii. Wote wanapaswa kuja na vyeti halisi walivyotumia kuombea ajira, ikiwemo vya kidato cha nne, kidato cha sita, taaluma, cheti cha kuzaliwa, pamoja na kitambulisho cha taifa au namba ya NIDA.iii. Waombaji wa nafasi ya Udereva wanatakiwa pia kuwasilisha leseni ya udereva ya Daraja…
Jeshi la zimamoto na Uokoaji Tanzania imetoa majina ya vijana waliochaguliwa kufanya usaili wa kujiunga na Jeshi hilo kwa mwaka huu 2025, Vijana wanasisitiswa kuwasilisha nyaraka muhimu zote zinazohitajika wakati wa usaili ili kuepuka usumbufu. BONYEZA HAPA KUPATA PDF YA MAJINA YA USAILI JESHI LA ZIMAMOT NA UOKOAJI Soma pia: Majina ya Usaili Zimamoto na Uokoaji 2025
Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili zimamoto na Uokoaji December 2025. Kamishna wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji ametangaza Majina ya vijana walioitwa kwenye Usaili. BONYEZA HAPA KUPATA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI ZIMAMOTO NA UOKOAJI