Author: noteswpadmin

Majina ya waliochaguliwa awamu ya Pili kujiunga na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (Institute of Finance Management – IFM) kwa mwaka wa masomo 2025 yametangazwa rasmi. Orodha hiyo inajumuisha wanafunzi waliokidhi vigezo vya kujiunga na programu mbalimbali za shahada, stashahada, na cheti, kulingana na matokeo yao ya kitaaluma na ushindani wa nafasi. Waliochaguliwa wanatakiwa kuthibitisha udahili wao kupitia mfumo wa TCU (kwa ngazi ya shahada) au NACTVET (kwa stashahada na vyeti) ndani ya muda uliowekwa ili kuweza kuendelea na hatua nyingine za usajili chuoni. IFM inawakaribisha wanafunzi wote wapya kujiunga na jumuiya yake ya kitaaluma yenye historia ndefu ya kutoa…

Read More

NECTA Yatangaza matokeo ya Darasa la Saba mwaka huu 2025-2026 – PSLE Results. Wanafunzi, wazazi na walimu kote nchini wanatarajia kwa hamu kutangazwa rasmi kwa matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kwa mwaka wa 2025 na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Matarajio ni kwamba matokeo hayo yatatolewa muda mfupi baada ya ukaguzi wa mwisho wa majibu, tathmini ya alama zote pamoja na uhakiki wa usahihi, ili kuhakikisha haki kwa watahiniwa wote. Kutangaza matokeo haya ni hatua muhimu sana katika mfumo wa elimu kwa sababu hutoa mwongozo kwa wanafunzi kuhusu shule za sekondari za kujiunga nazo, na…

Read More

Umefanikiwa kupata nafasi ya Kusimamia zoezi la Uchaguzi mkuu 2025? Huu hapa mchanganua wa Malipo na Posho ya Nafasi za kazi na Ajira za Kusimamia Uchaguzi mkuu Malipo na Posho za Ajira Kusimamia Uchaguzi 2025 Siku ya Uchaguzi Msimamizi wa Kituo atalipwa posho ya Shilingi 70,00/- kwa siku kwa muda wa siku mbili posho ya chakula Shilingi 20,000/= kwa siku moja na nauli Shilingi 20,000/=. Msimamizi Msaidizi wa Kituo atalipwa posho ya Shilingi 65,00= kwa siku kwa muda wa siku mbili, posho ya chakula Shilingi 20,000/= kwa siku moja na nauli Shilingi 20,000/= Karani Mwongozaji Wapiga Kura atalipwa posho ya…

Read More

Orodha ya Majina walioitwa kusimamia uchaguzi wa wapiga kura jimbo la Dodoma lenye kata ya Chamwino, Chang’ombe, Chigongwe, Hazina, Kikuya Kaskazini, Kikuya kusini, Kilimani, Kizota, Madukani, Majengo, Matumbulu, Mbabala, Mbalawala, Mkonze, Mnadani, Mpunguzi, Nala, Nkuhungu, Ntyuka, Uhuru, Zuzu, Kupata orodha ya Majina tafadhari, Bonyeza link apo chini: PDF ya wasimamizi wa Vituo vya kupiga kura Makarani waongozaji wapiga kura Kupata Orodha ya Wilaya nyingine, Bonyeza hapa

Read More