Timu zilizofuzu Michuano ya Kombe la Dunia 2026 ni zile zilizopata nafasi ya kushiriki michuano hiyo mikubwa ya soka duniani itakayofanyika kwa mara ya kwanza katika nchi tatu: Marekani, Kanada na Mexico. Mashindano haya yatashirikisha jumla ya timu 48 badala ya 32 kama ilivyokuwa awali, hivyo kutoa nafasi kwa mataifa mengi zaidi kushiriki.
JIUNGE GROUP LA KUPATA AJIRA
BONYEZA HAPA
Kufikia sasa, mataifa kadhaa kutoka mabara mbalimbali kama vile Amerika Kusini (CONMEBOL), Ulaya (UEFA), Afrika (CAF), Asia (AFC), na Oceania (OFC) yamejihakikishia tiketi zao kufuatia mechi za kufuzu zinazoendelea au kumalizika.
Orodha ya timu Zilizofuzu Hadi Kombe la Dunia (World Cup) 2026
| United States |
| Canada |
| Mexico |
| Asia |
| Australia |
| Iran |
| Japan |
| Jordan |
| Qatar |
| Saudi Arabia |
| South Korea |
| Uzbekistan |
| North & Central America |
| TBC |
| TBC |
| TBC |
| Oceania |
| New Zealand |
| South America |
| Argentina |
| Brazil |
| Colombia |
| Ecuador |
| Paraguay |
| Uruguay |
| Africa |
| Algeria |
| Cape Verde |
| Egypt |
| Ghana |
| Ivory Coast |
| Morocco |
| Senegal |
| South Africa |
| Tunisia |
| Europe |
| Croatia |
| England |
| France |
| Portugal |
Soma pia: