Chuo cha Usalama wa Taifa (TISS) nchini Tanzania kinatoa mafunzo maalum kwa ajili ya kuandaa viongozi na maafisa wa usalama. Ili kujiunga na chuo hiki, waombaji wanapaswa kutimiza vigezo na sifa maalum. Hata hivyo, baadhi ya taarifa kuhusu sifa hizi hazijatangazwa wazi kwa sababu za kiusalama.
Sifa za kujiunga na chuo cha usalama wa taifa
Zifuatazo ni baadhi ya sifa za kujiunga na chuo cha usalama wa taifa:
1. Uwe Uraia Wa Tanzania.
Ili uweze kukubariwa kujiunga na chuo cha usalama wa taifa inchi Tanzania basi kigezo cha kwanza huwa ni uraia wa mwombaji, Hivyo basi basi kwa Tanzania lazima uwe RAIA WA TANZANIA.
2. Uwe na Afya Nzuri
Kabla hujajiunga na chuo cha usalama wa taifa lazima upitie vipimo mbali mbali za kiafya kwani lazima uwe na afya nzuri.
3. Uwe na Elimu Kuanzia Kidato Cha Nne
Pia ukitaka kujiunga na chuo hiki lazima uwe na elimu angalau kuanzia kidato cha nne na kuendelea
4. Usiwe na Rekodi ya Uharifu
Kma lengo lako ni kujiunga na chuo cha usalama wa taifa basi hakikisha ya kua hujawahi kua na tabia mbaya amabyo iliperekea kukupa rekodi ya aina yoyote ile ya kiharifu.
5. Usiwe na Tatoo yoyote.
Unapo taka kujiunga na chuo cha mafunzo ya usalama wa taifa basi hakikisha ya kua mwili wako haujawahi kuchorwa tatoo ya aina yoyote ile.
Mchakato Wa Kutuma Maombi ya kujiunga chuo cha usalama wa Taifa
Ili kutuma maombi yako ya kujiunga na chuo cha usalama wa Taifa Tanzania itakubidi ufuate baadhi ya hatua kama vile
- Kujza fomu ya maombi
- Kufanya usahiri wa mahojiano
- Kisha Kufanya mafunzo