Innovex ni kampuni ya huduma za kitaalamu inayojivunia kuwa na makao yake makuu jijini Dar es Salaam, Tanzania. Imara tangu mwaka 2006, Innovex inatoa huduma mbalimbali ikiwemo ushauri wa kimkakati, ukaguzi wa hesabu, huduma za kodi, ushauri wa TEHAMA, na usimamizi wa hatari kwa sekta binafsi na umma kote Afrika. Kampuni hii ina mtandao mpana wa wataalamu na imefanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali kwa kushirikiana na serikali, mashirika ya maendeleo, mashirika yasiyo ya kiserikali, na sekta binafsi.
JIUNGE GROUP LA KUPATA AJIRA
BONYEZA HAPA
1 Comment
Naomba kazi kitengo cha procurement and logistics management.